Tuesday, September 25, 2012

Haiwezekani Lyrics

                                                                         hhhhhhhhhhhhhmmmNaamini nilikuzimia toka ndani moyoni,
Nilikuzimia toka ndani moyoni,
Ulipoamua kuniacha ilinichoma moyoni,
Nilijaribu kukuzuia haikukuingia akilini,
Nilishindwa nifanyeje sikujua nilikosea nini,
Napita mtaani nna mawazo tele kichwani,
Niliugua ugonjwa wa moyo nikalazwa hospitalini,
Washikaji waliponiuliza shemeji hajambo nyumbani,
Nilikimya kwa kushindwa kuwa nitawajibu nini,
Kuwaambia tumeachana ningewapa sababu gani,
Bila hata kusema kitu wee uliondoka kama utani,
Ukaniacha penzini ghafla nikazama gizani,
Mtu mzima mpaka sasa hujaniambia ni kwa nini,
Nami sikutaka kuamini na kufuata mambo ya watu,
Kuwa wazazi wako future yangu hawakuona kitu,
Ndio maana walikuchukua uolewe na Waitutu,
Naye Jimmy alikusumbua zaidi ya miaka tatu,
Kuhanya nje na kukuchapa kwake ilikuwa kawaida tu,
Hadi sasa hujaolewa wewe bado uko tu,
Sasa unataka turudiane kuwa nimekuwa mtu,
Ila hatutarudisha wakati nyuma,
Ah sorry.
 
Chorus *2
 
Haiwezekani,
sisi turudiane,
Baada ya kunitema,
sababu ya umaskini
Verse two
Sijuti nilikozaliwa ila ninashukuru wima,
Story ya maisha yangu nilikueleza mapema,
Sio eti nilipenda kutoendelea kusoma,
Babangu alipofariki linibidi kumtunza mama,
Pia kuhakikisha wadogo zangu wanasoma,
Umaskini ulinipa jukumu nami nikalisukuma,
Wazazi wako waliokushauri ukanihepa kama ukoma,
Sitawaelekezea lawama kwa kukutakia mema,
Babangu alinifunza kutazama mbele daima,
Bado moto ni ule ule hakuna kuuzima,
Sasa hakuna noma maisha yangu yamesimama,
Nilipokuwa rosto kwangu uliona noma,
Mambo juu ya msitari kunirudia unaona wema,
Sipendi marafiki wanafiki wanaojitakia wema,
Haukupanda unakotaka kuvuna hata unajilawama,
Mamangu hakuzaa fala sina elimu nina hekima,
Nasema na moyo wangu yale ninayo tazama,
Aliyenivumilia kwa kila hali akitabasamu inakuuma,
Nilipokuwa chini alinishikilia hadi nikasimama,
Wee unapenda mikwanja ndio maana mafukara unawatema.
 
Chorus*2
 
Verse Three
Kila ndoto nilikuwa nayo ghafla iligonga mwamba,
Maisha yangu ya mbele nikamwachia Muumba,
Ila lengo la kuwa heavyweight daima halikuyumba,
Umefanya sasa nashuku madem ninaokutana nao,
Iwe ni ana kwa ana ama mtandao,
Kile nimefocus ni hizo mikwanja Zao,
Nawapokonya ubikira kisha naachana nao,
Sidhani kama ni mapenzi yanawasha roho zao,
Lazima nikae rada kwa kunoa kiboko chao,
Sitembei na wallet ndio ujue mi ni mrui,
Hata waarab ninawavua bui bui,
Bora ni over 18 ninawanyorosha ndui,
Nashughulisha Mr. John kucheza ligi ya chini,
Baada ya kuchovya utamu nadisappear hewani,
Sijigambi ninapofinya ju sina alama kibajini

Wednesday, July 25, 2012

Nasabire Onyegene

Ase ekkero egetambe omwanchi kwabeire gokorera,
Buna tindi na ibaga riokobera nainwe nyomba,

Tuesday, June 12, 2012

Sikutaka Tuachane


Naamini nilikuzimia toka ndani moyoni,
Ulipoamua kuniacha ilinichoma moyoni,
Nilijaribu kukuzuia haikukuingia akilini,
Nilishindwa nifanyeje sikujua nilikosea nini,
Napita mtaani nna mawazo tele kichwani,
Niliugua ugonjwa wa moyo nikalazwa hospitalini,
Washikaji waliponiuliza shemeji hajambo nyumbani,
Nilikimya kwa kushindwa kuwa nitawajibu nini,
Kuwaambia tumeachana ningewapa sababu gani,
Bila hata kusema kitu wee  uliondoka kama utani,
Ukaniacha penzini ghafla nikazama gizani,
Mtu mzima mpaka sasa hujaniambia ni kwa nini,
Nami sikutaka kuamini na kufuata mambo ya watu,
Kuwa wazazi wako future yangu hawakuona kitu,
Ndio maana walikuchukua uolewe na Jimmy Gathu,
Naye Jimmy alikusumbua zaidi ya miaka tatu,
Kuhanya nje na kukuchapa kwake ilikuwa kawaida tu,
Hadi sasa hujaolewa wewe bado uko tu,
Sasa unataka turudiane kuwa nimekuwa mtu,
Ila hatutarudisha wakati nyuma,
Ah sorry.

Sijuti nilikozaliwa ila ninashukuru wima,
Story ya maisha yangu nilikueleza mapema,
Sio eti nilipenda kutoendelea kusoma,
Babangu alipofariki linibidi kumtunza mama,
Pia kuhakikisha wadogo zangu wanasoma,
Umaskini ulinipa jukumu nami nikalisukuma,
Wazazi wako waliokushauri ukanihepa kama ukoma,
Sitawaelekezea lawama kwa kukutakia mema,
Babangu alinifunza kutazama mbele daima,
Bado moto ni ule ule hakuna kuuzima,
Sasa hakuna noma maisha yangu yamesimama,
Nilipokuwa rosto kwangu uliona noma,
Mambo juu ya msitari kunirudia unaona wema,
Sipendi marafiki wanafiki  wanaojitakia wema,
Haukupanda unakotaka kuvuna hata unajilawama,
Mamangu hakuzaa fala sina elimu nina hekima,
Nasema na moyo wangu yale ninayo tazama,
Aliyenivumilia kwa kila hali akitabasamu inakuuma,
Nilipokuwa chini alinishikilia hadi nikasimama,
Wee unapenda mikwanja ndio maana mafukara unawatema.
Chorus*2

Sikutaka tuachane,
Ila watu wenye fitina,
Walileta majungu, sisi tukatengana…
Kila ndoto nilikuwa nayo ghafla iligonga mwamba,
Maisha yangu ya mbele nikamwachia Muumba,
Ila lengo la kuwa heavyweight daima halikuyumba,
Umefanya sasa nashuku madem ninaokutana nao,
Iwe ni ana kwa ana ama mtandao,
Kile nimefocus ni  hizo mikwanja Zao,
Nawapokonya ubikira kisha naachana nao,
Sidhani kama ni mapenzi yanawasha roho zao,
Lazima nikae rada kwa kunoa kiboko chao,
Sitembei na wallet ndio ujue mi ni mrui,
Hata waarab ninawavua bui bui,
Bora ni over 18 ninawanyorosha  ndui,
Nashughulisha Mr. John kucheza ligi ya chini,
Baada ya kuchovya utamu nadisappear hewani,
Sijigambi ninapofinya ju sina alama kibajini,
Niliangukiwa jana nikajifunza kuwa makini,
Kesho haitabiriki nitakuwa juu uwe chini,
Nahidi kabla nife tena nitakwangushia mpini,
Na lako nitalitoa sadaka to Mr. Rain man,
Kabla kuzeeka in the next world order.

Thursday, May 31, 2012

Rappers mind.

Rappers are regular people minus money and light
Searching for fortune and fame, and super stardom
All the jewelry, all the cars, whose crew is the hardest.
Now the hip-hop police, the villains is watching
And kids think beef is the only option
Outlaws born filthy, guilty as charged
My memories of him die, but Deepac Braxx lives on
You think the industry is fun
And no pity with guns
And when your money is up
Thats when your enemies come
So if he died and came back
Would he try to save rap?
We needing a change, the drama remains

I spent my whole life, fighting myself
That I cant win so I'm inviting some help
and every now and then I take rights from left
Im still just like a kid, looking for stripes on my belt
And that there is a fight in itself
So I just pray and hope god
Take a like to myself
No matter how much I try (stay alive)
I'm gunna die mad, still standing there in love with my pride

Heard frivolous beats, we past that
I'm trying to keep some income coming in
And collect on my ass cap
The rappers in the game aint changed
And I finally realized that we not in the same game
The hating will never end, so I guess I'll deal wit it
Them 4-5 with cop killers, just some steel wit it
The streets is military, you gotta be a soldier
Gotta stay leery and keep your eyes on the rollers
As they do what they gotta do to shackle and hold us
So we gotta do what we gotta do to keep rolling
One way at a time, keep the faith in your mind
and we continue growin...

Wednesday, April 11, 2012

"The world is looking for somebody to do something, not explain why he did not."


"The world is looking for somebody to do something, not explain why he did not."
These words, uttered by none other than Deepac Braxx reveal one who has gone through it all. By that, I mean all the constant hardships and hopelessness third world musicians go through without any breakthrough to success. But Deepac Braxx is one of the few exceptions to the rule.
His story has been the most inspiring.

Born on the 3rd March in 1980s in Kisii District western of Nairobi capital, Deepac Braxx was christened Geoffrey Onsongo and joined three other siblings into a humble life in Nyakoe, one with the worst security in Kisii District.

If his problems taught him anything, definitely innovation was one of them.
"Underground shows with a Walkman, a borrowed amplifier and a speaker was how he used to make ends meet.
At school he would spread the word and after school charge students fifty shillings (less than quarter a dollar) per head and he would jam! he got into trouble with the school administration but that was the way he made his pocket money at school."

By the end of his form four, he had composed many songs but had no money to record. It was one of the most disheartening things in his pursuit of his musical dream.

In 2002 while waiting to join college, he finally saved some money over the years to record and managed to make two tracks; Ndizo Hizo & Mwanariadha wewe but they were of very low quality. They therefore did not receive any credit or attention. 
 
That didn't faze him. He increased his intensity of odd jobs like washing cars, painting walls and hawking landscape paintings.

Then he tried his luck again in 2005, and recorded 'We tulia', this didn't do well either. By then he was in his first year in Nairobi Aviation College. he did videoshooting during his free time. He also did painting, while he still photography for Isaken Media Centre Int'l.

"I wasn't afraid of my friends disrespecting me because they understood my situation. Besides I am not after giving a false impression of myself so I could go work and perform at occasions like jam sessions and Karaoke in nightspots around the city."

Then finally, the chance to record again came and Deepac Braxx managed to record his song "Ni rah tu" featuring Phera Wekesa his Collegemate, a love story of a boy who was chassing a saved girl..
" He had to do it within thirty minutes because he was in through backdoor connections. And when thirty minutes was up he was kicked out. I thank those guys." This song later became a hit and played on radio and nightclubs around the country. Finally Deepac Braxx  got room to breathe.
 
" He loves the hip hop/rap style because he feels, that's the best way he can express himself. And also it is the best medium to communicate content and message. It is because he has something to say and that's the best medium for it. It is music for his people, the poor where he comes from. Artists like 2pac Shakur, Noyorous B.I.G., Nas, Dmx, Lost Boyz and Nauty by Nature are the major inspirations for his music.
He is a holder of a bachelor’s degree in Mass Communication and Jounalism from Prestigious  University, one of the biggest University in U.K. 
 
 Deepac Braxx’s repertoire includes album 'Ghetto Nazigala' (Voice of Ghetto) and several singles sung in Kiswahili and in his native kisii language.

From nothing in the 2002 when he began his career to the biggest Hip hop artist in Kenya  today. Deepac Braxx  has performed in Uganda, Tanzania, Sudan, Nigeria, Botswana Ghana and Senegal.

 
Deepac Braxx is currently venturing into movies and recently starred in a movie ‘Heatless’.
 
“Deepac Braxx is a good ghetto youth ready to help the ghetto people and I thank God for everything he has done for me".

Friday, January 27, 2012

MACHOZI NA DAMU

Machozi na Damu

Intro:
      Hii Ni real life
      (Come on, come on )*2
         
Verse one
Natoa hisia halisi,
Za life tunayopitia,
Usiku na mchana zinaenda zikijirudia,
Hatuoni mabadiliko ambayo tunakuzudia,
Wakati mwingine tuzidiwa hadi tunawaza kujiua,
Ila pendo la Mola hutuwezesha kushikilia,
Hebu vuta picha ya umaskini na dhiki tunazopitia,
Ni vigumu kwendelea unapokosa anayekuzimia,
Hawaoni bidii yetu ni shida zetu wanafurahia,
Nanajenga taswira ya raha kwenye nchi mpya,
Napaona akilini ila wahuni washatangulia,
Ndugu yangu namzimia ila hakuna tunakoelekea,
Shetani ashamteka sasa ana nia ya kuniua,
Masela wenye nyoyo safi hushindwa kujizuia,
Kwa mazishi tunapoomboleza ni hisia huumia,
Hakuna ajuaye siri ya peponi tunakoelelea,
Life is so crazy naomba nguvu za kuniokoa,
Niione asubuhi njema nitokwe machozi ya kufurahia,
Usidanganyike na tabasamu hizi ni za bandia,
Natamani maisha ya utotoni ju ni ya kufurahia,
Sasa unless tushirikiane hatutabadilisha hii dunia.
         (Ah come on).

                   Chorus*2

        Hivi ndivyo tunavyoishi,
        Duniani ki ujambazi,
        Tunaendelea kusurvive,
        Kwa machozi na damu

 Verse two

Nadondokwa na machozi,
Napoitazama dunia,
Mapenzi yameginda sumu hatuna cha kufurahia,
Mipango ya kando inazidi kuvunja familia,
Najiuliza kama ni yangu ni nini nitajifanyia?
Jibu linanikosa nachutama naanza kulia,
Ingawa hayajanipata nahisi uchungu wanayopitia,
Inauma sana kuona mtu ambaye unamzimia,
Akimpenda mwingine bila yeye kukufikiria,
Sio ajabu kupandwa mori hata wivu ukakuua,
Disappointments en desperation zimetufanya kukimbilia,
To the old women’s arms tukidhani kwao tutatulia,
Fahamu wanaumiza ujana na zaidi ninapotoza njia,
Ngono inakata kiu tu sio kukufanya kufurahia,
Naombea madem wadogo ju ni vigumu kuwakatia,
Hawana mapenzi ya dhati ni mikwanja wanaangalia,
Wakisha pajikwa mimba ndio anaanza kutufikiria,
Wakiwa na watoto bila baba na magonjwa ya kuua,
As if hatuwadeserve kabla vibabu kuwapitia,
Hata Yule dem msupa wanaume wananga’ang’ania,
Kuna mwenye anamwepa kwa vile ashamtia.
     (Ah hala)


          Hivi ndivyo tunavyoishi,
         Duniani ki ujambazi,
        Tunaendelea kusurvive,
       Kwa machozi na damu.

Verse three
Napofumbua macho ni dhiki ninajionea,
Unyanyasaji na mauaji hali sio ya kufurahia,
Sasa hatutaki kuona mama ya mtu akilia,
Kuwa mtoto wake amepiwa kaaga dunia
Ila tukitaka haki zetu itatubidi hata kuua,
Kwa kelele cha mdomo hakuna atakayetusikia,
Kuna vita mitaani na pembe zote za dunia,
Badala ya vita vya umasikini ni vita vya kuua,
Tunagonganishwa na mabwenyenye ambao wamendelea,
Wanajifanya wanachukiana ila ni sahani moja wanakulia,
Hali zingine hazitabadilika itatubidi kuitikia,
Hii ni life ya kubaatisha ya hakika tuaingojea,
Majambazi wa bungeni na polisi ndio wanaotuua,
Badala ya kulipa ushuru ni mishahara wanajiongezea,
Heli kuwa maiti kama hatuna sababu ya kufurahia,
Mamangu na babangu heshima kubwa nawapatia,
Hamkuzaa fala na ni kwa shida mlinilea,
Nawe Naomi Nyaboke na kuappreciate na nakuzimia,
Naomba Mungu asiwasahau katika nchi mpya,
Tujumuike na Malaika mbinguni tukifurahia.
    (Ah nimechoka).

     
          Hivi ndivyo tunavyoishi,
         Duniani ki ujambazi,
        Tunaendelea kusurvive,
        Kwa machozi na damu.





Outro:
              Unless we change ourselves,
             We can’t change the world,
            Let’s change the way we treat each other,
           Deepac Braxx
          (The Heavyweight Messiah).

Monday, January 9, 2012

Machozi na Damu


Intro:
      Hii Ni real life
      (Come on, come on )*2
       

Verse one

Natoa hisia halisi,
Za life tunayopitia,
Usiku na mchana zinaenda zikijirudia,
Hatuoni mabadiliko ambayo tunakuzudia,
Wakati mwingine tuzidiwa hadi tunawaza kujiua,
Ila pendo la Mola hutuwezesha kushikilia,
Hebu vuta picha ya umaskini na dhiki tunazopitia,
Ni vigumu kwendelea unapokosa anayekuzimia,
Hawaoni bidii yetu ni shida zetu wanafurahia,
Nanajenga taswira ya raha kwenye nchi mpya,
Napaona akilini ila wahuni washatangulia,
Ndugu yangu namzimia ila hakuna tunakoelekea,
Shetani ashamteka sasa ana nia ya kuniua,
Masela wenye nyoyo safi hushindwa kujizuia,
Kwa mazishi tunapoomboleza ni hisia huumia,
Hakuna ajuaye siri ya peponi tunakoelelea,
Life is so crazy naomba nguvu za kuniokoa,
Niione asubuhi njema nitokwe machozi ya kufurahia,
Usidanganyike na tabasamu hizi ni za bandia,
Natamani maisha ya utotoni ju ni ya kufurahia,
Sasa unless tushirikiane hatutabadilisha hii dunia.
         (Ah come on).

                   Chorus*2

        Hivi ndivyo tunavyoishi,
        Duniani ki ujambazi,
        Tunaendelea kusurvive,
        Kwa machozi na damu

 

 

 

 

 


Verse two

Nadondokwa na machozi,
Napoitazama dunia,
Mapenzi yameginda sumu hatuna cha kufurahia,
Mipango ya kando inazidi kuvunja familia,
Najiuliza kama ni yangu ni nini nitajifanyia?
Jibu linanikosa nachutama naanza kulia,
Ingawa hayajanipata nahisi uchungu wanayopitia,
Inauma sana kuona mtu ambaye unamzimia,
Akimpenda mwingine bila yeye kukufikiria,
Sio ajabu kupandwa mori hata wivu ukakuua,
Disappointments en desperation zimetufanya kukimbilia,
To the old women’s arms tukidhani kwao tutatulia,
Fahamu wanaumiza ujana na zaidi ninapotoza njia,
Ngono inakata kiu tu sio kukufanya kufurahia,
Naombea madem wadogo ju ni vigumu kuwakatia,
Hawana mapenzi ya dhati ni mikwanja wanaangalia,
Wakisha pajikwa mimba ndio anaanza kutufikiria,
Wakiwa na watoto bila baba na magonjwa ya kuua,
As if hatuwadeserve kabla vibabu kuwapitia,
Hata Yule dem msupa wanaume wananga’ang’ania,
Kuna mwenye anamwepa kwa vile ashamtia.
     (Ah hala)


          Hivi ndivyo tunavyoishi,
         Duniani ki ujambazi,
        Tunaendelea kusurvive,
       Kwa machozi na damu.























Verse three
Napofumbua macho ni dhiki ninajionea,
Unyanyasaji na mauaji hali sio ya kufurahia,
Sasa hatutaki kuona mama ya mtu akilia,
Kuwa mtoto wake amepiwa kaaga dunia
Ila tukitaka haki zetu itatubidi hata kuua,
Kwa kelele cha mdomo hakuna atakayetusikia,
Kuna vita mitaani na pembe zote za dunia,
Badala ya vita vya umasikini ni vita vya kuua,
Tunagonganishwa na mabwenyenye ambao wamendelea,
Wanajifanya wanachukiana ila ni sahani moja wanakulia,
Hali zingine hazitabadilika itatubidi kuitikia,
Hii ni life ya kubaatisha ya hakika tuaingojea,
Majambazi wa bungeni na polisi ndio wanaotuua,
Badala ya kulipa ushuru ni mishahara wanajiongezea,
Heli kuwa maiti kama hatuna sababu ya kufurahia,
Mamangu na babangu heshima kubwa nawapatia,
Hamkuzaa fala na ni kwa shida mlinilea,
Nawe Naomi Nyaboke na kuappreciate na nakuzimia,
Naomba Mungu asiwasahau katika nchi mpya,
Tujumuike na Malaika mbinguni tukifurahia.
    (Ah nimechoka).

     
          Hivi ndivyo tunavyoishi,
         Duniani ki ujambazi,
        Tunaendelea kusurvive,
        Kwa machozi na damu.





Outro:
              Unless we change ourselves,
             We can’t change the world,
            Let’s change the way we treat each other,
           Deepac Braxx
          (The Heavyweight Messiah).